KITAIFA
November 23, 2023
208 views 2 mins 0

BASHUNGWA AANZA KUWASHUGHULIKIA WATAALAM TANROADS, MKURUGENZI WA MIRADI AONDOLEWA

Waziri wa ujenzi, Innocent Bashungwa amesema kuchelewa kwa ukamilishaji na kutotekelezwa kwa miradi ya barabara nchini kwa wakati na viwango vinavyotakiwa kunasababishwa baadhi ya Wataalam na Wasimamizi wa Miradi hiyo wa Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kutotekeleza wajibu wao kikamilifu. Ameyasema hayo Mkoani Tanga wakati akikagua ujenzi wa barabara ya Mkange – Tungamaa – Pangani […]

KITAIFA
August 15, 2023
202 views 2 mins 0

TANTRADE KUBORESHA MAZINGIRA YA MAONESHO SABASABA

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeipongeza Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania TANTRADE kwa kuboresha mazingira ya biashara hususani Maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) 2023. Vilevile Kamati hiyo imeiagiza TANTRADE kupitia Sheria na kuwa na mikakati mahususi ikiwemo ya uboreshaji wa miundombinu […]