MHANDISI BESTA:DUNIA INABADILIKA NA TUNAPOELEKEA RASILIMALI ZINAZIDI KUADIMIKA
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Taasisi ya wahandisi Tanzania Kwa kushirikiana na bodi ya usajili wa wahandisi Tanzania (ERB) na chama Cha wahandisi washauri Tanzania (ACET) wameadhimisha Leo siku ya Uhandisi Duniani Jijini Dar es salaam Mtendaji mkuu wa Tanroads Mhandisi Mohammed Besta Amesema matukio.kama haya hutunza kumbukumbu ya Yale yanayojili na kupelekea chachu […]