KITAIFA
April 22, 2025
10 views 3 mins 0

ULEGA ATOA SIKU 30 KWA MKANDARASI BARABARA YA NSALAGA – IFISI KUWEKWA LAMI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri wa Ujenzi,  Abdallah Ulega ametoa siku 30 na kumtaka Mkandarasi Kampuni ya CHICO anayetekeleza ujenzi wa upanuzi wa barabara ya Nsalaga – Ifisi (km 29) kwa njia nne, jijini Mbeya kuongeza kasi ya ujenzi wa mradi huo ili uweze kukamilika na kupunguza msongamano wa magari katika jiji hilo. Aidha, Waziri […]