KITAIFA
April 03, 2025
42 views 2 mins 0

TAKUKURU PWANI YAWATAKA WANANCHI KUSHIRIKIANA KUPAMBANA NA RUSHWA KATIKA KIPINDI HICHI CHA UCHAGUZI

Na Madina Mohammed PWANI WAMACHINGA Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Takukuru ya pwani imewataka wananchi kuajibika Katika kupambana na rushwa pia kuisaidia takukuru Katika mapambano hayo ya rushwa katika kipindi hichi Cha uchaguzi mkuu Ameyasema hayo Leo 03 Machi 2025 Mkuu wa takukuru (M) Pwani Domina Mukama Amesema takukuru imepata nafasi ya kipekee […]