KITAIFA
March 16, 2025
56 views 3 mins 0

TAKUKURU NI CHOMBO MUHIMU KWA MAENDELEO YA TAIFA – DKT.MHAGAMA

Na.Lusungu Helela- ROMBO Mwenyekiti wa Kamati ya  Kudumu ya  Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Joseph  Mhagama amesema Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ( TAKUKURU) ni chombo muhimu kwa ustawi na maendeleo ya Taifa la Tanzania na Watu wake. Amesema ndoto ya Tanzania ijayo haiwezi kutimia bila uwepo wa chombo hicho. […]

KITAIFA
December 16, 2024
111 views 2 mins 0

RAIS SAMIA NI KIONGOZI ANAYECHUKIA  RUSHWA KWA VITENDO : NAIBU WAZIRI MHE. SANGU

Na. Lusungu Helela – Arusha. Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.Deus Sangu amesema  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe. Dkt.  Samia Suluhu Hassan ni kiongozi aliyejipambanua kwa vitendo  kwa kuichukia rushwa ambapo katika Uongozi wake  ameiwezesha Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa  ( TAKUKURU) […]