KITAIFA
February 23, 2024
146 views 3 mins 0

BARABARA YA TANGA-KILOSA-MIKUMI-LUPEMBE KUPANDISHWA HADHI KUWA BARABARA KUU ‘TRUNK ROAD’

MOROGORO Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemuelekeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Balozi Mhandisi Aisha Amour kuipandisha hadhi barabara ya Tanga – Kilosa – Mikumi – Lupembe – Njombe kuwa barabara kuu ‘Trunk Road’ ili kuinua uchumi katika mikoa yaTanga, Morogoro na Njombe ambapo barabara hiyo inapita. Bashungwa, ameyasema hayo wakati anakagua Ujenzi wa […]

BIASHARA, KITAIFA
February 20, 2024
144 views 3 mins 0

SERIKALI YAISHUKURU BENKI YA DUNIA KUFANIKISHA MRADI WA DMDP

Waziri wa Nchi,Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Mradi wa Uendelezaji wa Jiji la Dar es Salaam (DMDP) awamu ya pili utajenga barabara za lami katika Mkoa wa Dar es salaam kilomita 250, kuanzisha mfumo wa udhibiti wa taka ngumu, masoko 18 pamoja na vituo vya mabasi tisa. Mhe.Mchengerwa ameyasema hayo leo Februari 20, 2024 jijini Dar […]

KITAIFA
January 14, 2024
137 views 2 mins 0

DARAJA LA MWANANCHI MWANZA KUKARABATIWA

#Mameneja wa Mikoa wa TARURA nchi nzima watakiwa kufanya ukaguzi wa madaraja na mifereji Mwanza Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi Victor Seff ameagiza Daraja la Mwananchi lililopo Kata ya Mahina jijini Mwanza kuanza kukarabatiwa mara moja kufuatia kuharibiwa na Mvua zinazoendelea kunyesha jijini hapa. Mhandisi Seff ameyasema hayo […]

KITAIFA
January 09, 2024
177 views 2 mins 0

MHANDISI SEFF AAHIDI USHIRIKIANO UJENZI WA BARABARA

*TARURA YAIFUNGUA MSOMERA Handeni Jumla ya Km.186 za barabara zimekamilika kuchongwa na kilometa 24 zimewekewa changarawe kati ya Km. 986 za mtandao wa barabara katika Kijiji cha Msomera, wilayani Handeni. Hayo yameelezwa na Meneja wa Wilaya ya Handeni Mhandisi Judica Makyao wakati ya ziara ya Mtendaji Mkuu wa TARURA Mhandisi Victor Seff katika kijiji cha […]

KITAIFA
January 06, 2024
126 views 46 secs 0

USHIRIKISHWAJI VIKUNDI VYA KIJAMII KWENYE MATENGENEZO YA BARABARA ‘WAMKOSHA’MHANDISI SEFF

Mwanga Ushirikishwaji vikundi vya kijamii kwenye matengenezo ya barabara ya Kisangara kwenda Shighatini wilayani Mwanga umemfurahisha Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi Victor Seff. Mhandisi Seff amefanya ziara ya kikazi katika Wilaya hiyo kukagua mradi wa matengenezo katika barabara hiyo yenye urefu wa Km. 25, unaofanywa na kikundi maalum […]

KITAIFA
November 30, 2023
161 views 44 secs 0

TARURA MNAFANYA KAZI NZURI: WAZIRI BASHUNGWA

Arusha Waziri wa Ujenzi, Mhe. Innocent Bashungwa ameipongeza Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA ) kwa kazi nzuri wanazofanya na za utekelezaji wa majukumu yake ya kuzifungua barabara nchini. โ€œTARURA mnaupiga mwingi kwenye Ujenzi wa madaraja na barabara za mawe,mfikishieni salamu zangu Waziri wa OR-TAMISEMI,Mtendaji Mkuu pamoja na watumishi wote wa TARURA. Mhe. […]

KITAIFA
November 23, 2023
206 views 2 mins 0

BASHUNGWA AANZA KUWASHUGHULIKIA WATAALAM TANROADS, MKURUGENZI WA MIRADI AONDOLEWA

Waziri wa ujenzi, Innocent Bashungwa amesema kuchelewa kwa ukamilishaji na kutotekelezwa kwa miradi ya barabara nchini kwa wakati na viwango vinavyotakiwa kunasababishwa baadhi ya Wataalam na Wasimamizi wa Miradi hiyo wa Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kutotekeleza wajibu wao kikamilifu. Ameyasema hayo Mkoani Tanga wakati akikagua ujenzi wa barabara ya Mkange – Tungamaa – Pangani […]

KITAIFA
October 21, 2023
208 views 4 secs 0

NAIBU KATIBU MKUU MATIVILA AIOONGEZA TARURA

Naibu Katibu Mkuu,Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhandisi Rogatus Mativila ameipongeza Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kazi wanazoendelea kufanya katika maeneo mbalimbali nchini. Mhandisi Mativila ametoa pongezi hizo wakati alipokutana na kufanya kikao na Menejimenti ya Wakala huo kwenye ukumbi wa TARURA uliopo mji wa Serikali-Mtumba jijini Dodoma. Mhandisi Mativila ameitaka Menejimenti hiyo […]

KITAIFA
September 27, 2023
185 views 2 mins 0

BILIONI 5.7 KUUNGANISHA KIJIJI CHA KAPETA NA LANDANI KWA LAMI

Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeanza ujenzi wa Barabara ya Kiwiraโ€“Landani kwa kiwango cha lami yenye urefu wa Km 5 pamoja na daraja lenye urefu wa mita 40 kwa gharama ya shilingi bilioni 5.7 Wilayani Ileje ili kurahisisha shughuli za kijamii na kiuchumi. Hayo yameelezwa na Meneja wa TARURA Mkoa wa Songwe, […]

KITAIFA
September 23, 2023
157 views 49 secs 0

TAMISEMI KUSAINI MKATABA WA UBORESHAJI WA MIUNDOMBINU YA MIJI

Waziri wa nchi ofisi ya Rais Tamisemi Mh.Mohamed Omary Mchengerwa ameshuhudia utoaji saini wa mkataba wa miradi wa uboreshaji wa miundombinu ya miji ya Tanzania uliofanyika septemba 23 katika ukumbi wa JNICC jijini dar es salaam. Akizungumza katika hafla hiyo waziri Mchengerwa amesema mkataba huo ni wa dola mil 110 ambazo ni zaidi ya shilingi […]