KITAIFA
March 11, 2024
195 views 2 mins 0

MIAKA MITATU YA RAIS SAMIA, MAMA ONGEA NA MWANAO WAANZA NA WALEMAVU

DAR ES SALAAM Tasisi ya Mama ongea na mwanao imesema hivi karibini wanatarajiwa kufanya tamasha kubwa la walemavu Nchi nzima na kuwapatia mahitaji yao mbalimbali ya msingi Katika tamasha hilo wataungana na makundi mengine ikiwemo vijana, bodaboda, wajasiliamali na watakuwa na kauli mbiu isemayo “Mtonye mwenzako Mama tena” Akizungumza na Waandishi wa Habari mapema hii […]