MAJALIWA:SERIKALI YA SAMIA YAENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU ZAIDI YA BILIONI 579 ZIMEKUJA SONGWE
Ikiwa ni ziara yake ya pili waziri majaliwa mpaka Sasa na akiendelea kutembelea mkoa wa songwe akitembelea vijiji vitongoji na Halmashauri zake na kutembelea miradi mbalimbali na akizindua miradi ya Ruwasa,shule, hospital Waziri majaliwa Amesema ziara yangu ni maarumu Kwa ajili ya kukagua miradi ya maendeleo inayojengwa Katika maeneo ya wananchi “Miradi hii ambayo Dkt.Samia […]