RC CHALAMILA AZINDUA OFISI YA MACHINGA-DSM
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -Amshukuru Rais Dkt Samia Suluhu kwa kutoa pesa zilizowezesha ujenzi wa ofisi hiyo. -Awataka machinga na Bodaboda kuitumia ofisi hiyo kuleta matokeo chanya. -Arudisha tabasamu la Bi Beatrice aliyekumbwa na sakata la kuuzwa nyumba yake Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Machi 13, 2025 amezindua ofisi […]