BIASHARA
February 28, 2025
73 views 16 secs 0

KAMERA 40 KUFUNGWA SOKO LA KARIAKOO

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA DAR ES SALAAM: KATIBU Tawala mkoa wa Dar es Salaam Dk. Toba Nguvila amesema katika kuhakikisha usalama katika soko la Kariakoo, tayari serikali kupitiaย  Halmashauri ya jiji hilo imeshasaini mkataba na Wakalawa Ufundiย  na Umemeย  Tanzaniaย  TAMESA kwaajili ya ufungaji wa kamera 40 za ulinzi ( CCTV Camera) […]

BIASHARA
January 31, 2025
75 views 2 mins 0

RC CHALAMILA: DAR- KUZINDUA BIASHARA SAA 24 FEBRUARI 22,2025

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -Asema maandalizi ya kufunga taa na Camera za usalama yanendelea vizuri. Mara baada ya jiji la Dar es salaam kufanikiwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Nishati wa wakuu wa Nchi za Afrika Mkuu wa Mkoa huo Mhe Albert Chalamila ametangaza rasmi kuanza kwa shughuli za biashara kwenye jiji hilo saa 24 […]

BIASHARA
January 29, 2025
147 views 45 secs 0

SOKO LA KARIAKOO LATARAJIWA KUANZA SHUGHULI ZAKE FEBRUARI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA SOKO la Kariakoo linatarajiwa kurejesha shughuli zake kuanzia mwezi Februari, 2025 mara baada kukamilika kwa ujenzi na ukarabati wa soko sambamba na kukamilika kwa kazi ya uhakiki wa waliokuwa wafanyabiashara kwenye soko hilo. Uhakiki uliofanywa na timu maalum iliyoundwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ikijumuisha wawakilishi […]