MICHEZO
April 28, 2025
16 views 30 secs 0

“HII NI OPARESHENI YA NCHI NA NDIO KAZI TULIYOTUMWA NA DKT. SAMIA “-MHE. MWINJUMA BAADA YA SIMBA SC KUTINGA FAINALI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA AFRICA KUSINI Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Hamis Mwinjuma amesema kuwa Serikali iko bega kwa bega na vilabu vya mpira wa miguu kuhakikisha michezo nchini inapata hadhi inayostahili. Mhe. Mwinjuma amesema hayo wakati akiwapongeza Simba SC baada ya kufuzu kutinga fainali ya kombe la Shirikisho la Afrika […]