KITAIFA
April 26, 2024
321 views 43 secs 0

RAIS DKT MWINYI AKOSHWA NA MDAHALO WA WANAWAKE NA MUUNGANO,AIPONGEZA UWT

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA DAR ES SALAAM Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyiย  ameipongeza Jumuiyaย  yaย  Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) kwa kazi kubwa waliyoifanya kuwaletea maendeleo wanawake na kukiimarisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamoja na kuandaa mdahalo wa wanawake na Muungano. Pia, ameupongeza umoja huo kwa […]