KITAIFA
March 03, 2025
22 views 19 secs 0

WALIYOYAPAMBANIA WANAWAKE WENZETU MATUNDA YAKE TUNAYAONA – MBUJA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“Œ *Asema Wizara ya Nishati inalo la kujivunia kutokana na uwepo wanawake katika nafasi za uongozi.* Mkuu wa Kitengo cha Mawasilianoย  Serikalini Wizara ya Nishati,ย  Neema Mbuja amesema kile ambacho wanawake walikipambaniaย  katika majukwaa mbalimbali ikiwemo ya Kimataifa ili kuwa naย  haki, usawa na uwezeshaji kwa wanawake matunda yake yanaonekana hivi […]

KITAIFA
March 03, 2025
36 views 4 mins 0

KILELE CHA WANAWAKE DUNIANI KUFANYIKA TAREHE 8 JIJINI ARUSHA

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Kwa kuelekea siku ya wanawake duniani kwa tamko la Beijing linalotimiza miaka 30 Kwa kusheherekea siku ya wanawake duniani Ambapo kilele chake kufanyika siku ya Tarehe 8 Machi Mapinduzi ya Beijing yaliyoanza kufanywa mwaka 1995 Hadi siku ya Leo yanamueka mwanamke kama mtu mwenye mchango sawa na Mwanaume […]

KITAIFA
March 01, 2025
34 views 54 secs 0

MKURUGENZI UFUATILIAJI NA TATHMINI WIZARA YA NISHATI AELEZA JINSI WIZARA INAVYOTOA FURSA  KWA WANAWAKE

Na Mwandishi Wetu MWANAHABARI Mkurugenzi wa Ufuatiliaji na Tathmini Wizara ya Nishati, Bi. Anita Ishengoma amesema katika utekelezaji wa majukumu ya kisekta Wizara ya Nishati imetoa fursa za usawa kwa wanawake. Bi. Ishengoma ameyasema hayo katikaย  kuelekea kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo huadhimishwa kila tarehe 8 Machi ambapo nchini itaadhimishwa kitaifa mkoani […]