BURUDANI
September 07, 2024
47 views 22 secs 0

MAMA KANUMBA ALIA KWA FURAHA KUMKUMBUKA MWANAE KANUMBA

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mama wa hayati Steven Kanumba Ni miongoni mwa wageni wanaohudhuria tamasha la Faraja ya Tasnia ambalo linalenga kuwaenzi wasanii na wanatasnia wote waliotangulia Mbele za haki. Mama Kanumba amewaambia waandishi kuwa walioofikiria kuja na tamasha hilo wamefanya jambo jema kwani kuwaenzi wasanii na wengine walio kwenye tasnia ni […]