KITAIFA
May 02, 2024
267 views 2 mins 0

SHIRIKA LA AAPH:LIMETOA TAFITI ZA MATATIZO YA AFYA YA AKILI KUWAPATA HASA VIJANA

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Kumekuwa na  Changamoto ya mfumo wa maisha Katika jamii watu wengi huwa wana matumizi ya madawa ya kulevya na wengine kuwa na msongo wa mawazo pamoja na kuongezeka kwa vitendo vya unyanyasaji na  Unyanyapaaji kwa watu mbalimbali kumechangia kuongezeka kwa matatizo ya Afya ya Akili hasa kwa Vijana. […]