BIASHARA
February 24, 2025
61 views 3 mins 0

WANANCHI NCHINI BURUNDI WAKO TAYARI KWA  SGR

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Shirika la Reli Tanzania (TRC), limefanya ziara ya nchini Burundi na kukutana na wadau mbalimbali kufuatia kutiwa saini utekelezaji wa Mradi wa  SGR awamu ya pili ya  kipande cha saba kutoka Uvinza Tanzania na  kipande cha nane kutoka Malagarasi – Msongati, Burundi. Mkatab wa Mradi huo  ambao umeasisiwa na Rais wa […]

KITAIFA
January 16, 2025
143 views 3 mins 0

SERIKALI YAJIPANGA KUTATUA CHANGAMOTO ZINATOKANA NA MVUA  KWENYE MIUNDOMBINU YA USAFIRI  WA TRENI YA MWENDOKASI (SGR).

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania, Masanja Kadogosa, amesema kuwa serikali inajizatiti kutatua changamoto zinazotokana na mvua katika usafiri wa treni za Mwendokasi (SGR). Kadogosa ameeleza kuwa mvua kubwa inayoendelea kunyesha inasababisha maji kuingia katika sehemu ambazo ziliharibiwa na wahalifu, hivyo kusababisha hitilafu katika miundombinu hali iliyopelekea kusimamisha  kwa treni […]