MADINI KUWEKA MIKAKATI SHIRIKISHI UWEKEZAJI SEKTA YA MADINI
Kushirikiana na Makampuni bingwa ya Ushauri nchini kuitangaza sekta ya madini Wizara ya Madini kufungua Dawati maalum la Uwekezaji TIC Kufungua kiwanda cha uchenjuaji kitakacho hudumia Ukanda wa Sub Sahara Afrika Wizara ya Madini imepanga kuweka mikakati shirikishi ya uwekezaji katika Sekta ya madini itakayowavutia na kuwanufaisha wachimbaji wadogo,wa kati na wakubwa. Hayo yamebainishwa Novemba […]