SANLAM KUWAPATIA FURAHA WANANCHI KWA KUWEKEZA MFUKO WA SANLAM PESA MONEY MARKET FUND
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Kampuni ya Usimamizi wa mitaji Sanlam investment inayofanya kazi katika Nchi 25 za Afrika Masharikiย imeanza rasmi kufanya kazi nchini Tanzania kwa kushirikiana na Benki ya CRDB ikilengaย kutoa fursa kwa Taasisi,Vikindi na mtu mmoja mmojaย kuwekeza kupitia mfuko maalum wa Sanlam pesa Money Market Fund unaotoa faida […]