KITAIFA
February 21, 2025
55 views 4 mins 0

NAIBU WAZIRI SANGU ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA TASAF MKOANI IRINGA

Na Lusungu Helela- IRINGA Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Sangu ameridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) mkoani Iringa huku akiitaka Mikoa mingine kuiga mfano wa Iringa kwenye matumizi bora ya  fedha za Mfuko huo. Mhe.Sangu ametoa  […]