KITAIFA
March 29, 2025
20 views 2 mins 0

MARA WARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI YA REA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA 📌 Wamshukuru Rais Samia kwa kupunguza gharama za umeme 📌 Elimu kuhusu matumizi bora ya nishati yatolewa 📌 Watakiwa kuchangamkia fursa ya kuunganisha umeme Wananchi mkoani Mara wamesisitiza kuridhishwa na utekelezaji miradi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), inayotekelezwa nchini kwa lengo la kuwapatia umeme wa gharama nafuu, na wameipongeza Serikali […]

KITAIFA
March 06, 2025
38 views 52 secs 0

ARUSHA WAVUTIWA NA BIDHAA ZA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Wananchi Jijini Arusha wamevutiwa na bidhaa mbalimbali za Nishati Safi ya Kupikia na wameipongeza Serikali kwa kuona umuhimu wa kufikisha bidhaa hizo katika Maonesho yanayoendelea mkoani humo kuelekea Siku ya Wanawake Duniani. Wakizungumza kwa nyakati tofauti Machi 6, 2025 mara baada ya kutembelea Banda la REA na kushuhudia teknolojia mbalimbali za […]

KITAIFA
February 26, 2025
60 views 8 secs 0

TANZANIA INA UTAJIRI WA GESI ASILIA’- MHANDISI ANTELIMI RAPHAEL

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Kamishna Msaidizi wa Mkondo wa Juu wa Petroli, Wizara ya Nishati, Mhandisi  Antelimi Raphael amesema kuwa Tanzania ina utajiri wa Gesi Asilia ambapo mpaka sasa kiasi kilichogunduliwa ni futi za ujazo trilioni 55. Amesema hayo tarehe 26 Februari 2025 jijini Dar es Salaam katika Kipindi cha Joto la Asubuhi kinachoendeshwa na […]

KITAIFA
January 24, 2025
90 views 2 mins 0

KUELEKEA MKUTANO WA M300: TANZANIA YAWEKA HISTORIA UUNGANISHAJI UMEME VIJIJINI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA 📌Watanzania asilimia 78.4 wameunganishwa na umeme 📌Uunganishaji umeme vijijini wafikia asilimia 100 📌Vitongoji 33,657 vimefikiwa 📌Watanzania milioni 13.5 kusambaziwa umeme ifikapo 2030 📌Rais Samia kinara wa matumizi ya nishati safi Kuelekea mkutano wa nishati wa wakuu wa nchi za Afrika, Tanzania imeweka historia kwa kuwaunganishia umeme wananchi kwa asilimia 78.4 ambapo […]

KITAIFA
December 17, 2024
104 views 3 mins 0

WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI CHUKIENI RUSHWA, FANYENI KAZI KWA UWAZI – DKT. BITEKO

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Atahadharisha vitendo vya rushwa kwenye Manunuzi* Dkt. Biteko afungua Kongamano la 15 la Wataalam wa Ununuzi na Ugavi* Ataka wasikilize sauti za watu, kutathimini utendaji kitaaluma* Naibu Waziri Mkuu na  Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka wataalam wa ununuzi na ugavi nchini kizingatia misingi ya maadili ya taaluma yao […]

KITAIFA
December 11, 2024
93 views 2 mins 0

ARUSHA WAMSHUKURU RAIS SAMIA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Majiko ya Gesi ya Ruzuku yawafikia Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha wamemshukuru Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mradi wa kusambaza majiko ya gesi kwa bei ya ruzuku ya 50% katika halmashauri hiyo. Wametoa pongezi hizo Desemba 10, 2024 wakati wa utekelezaji wa mradi wa kusambaza majiko ya […]

KITAIFA
December 09, 2024
111 views 58 secs 0

NGORONGORO WATHIBITISHA KUACHANA NA KUNI INAWEZEKANA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Wajitokeza kwa wingi kujipatia majiko ya gesi ya ruzuku Wakazi wa Wilaya ya Ngorongoro Mkoani Arusha wameitikia wito wa kutumia Nishati Safi ya Kupikia ikiwa ni hatua ya kuunga mkono jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kulinda afya na kutunza mazingira. Hayo […]

KITAIFA
December 07, 2024
131 views 2 mins 0

WATUMISHI REA WATAKIWA KUFANYA KAZI KUENDANA NA KASI YA SERIKALI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Asisitiza kuongeza ubunifu na kuzingatia maadili ya utumishi wa umma Awataka kujiepusha na vitendo vya uvunjifu wa maadili Wizara ya Nishati yaipongeza REA kwa utekelezaji wa miradi Watumishi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wametakiwa  kufanya kazi kwa uadilifu, ubunifu, juhudi, maarifa na upendo ili kuendana na kasi ya Serikali ya […]

KITAIFA
November 22, 2024
97 views 59 secs 0

REA YAWAHAKIKISHIA UPATIKANAJI WA MITUNGI YA GESI YA KILO SITA NCHI NZIMA

Na Mwandishi Wetu Mitungi ya gesi zaidi ya 13,000 kusambazwa Songwe Kila wilaya kupatiwa mitungi ya gesi 3,255 Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeingia mkataba na mtoa huduma kampuni ya Oryx Gas Tanzania Limited ambaye atahudumia wilaya zilizopo ndani ya Mkoa wa Songwe kwa kuuza kwa bei ya ruzuku mitungi ya gesi ya kilo sita […]

KITAIFA
November 19, 2024
103 views 48 secs 0

REA KUSHIRIKIANA NA NJOMBE KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI ZAIDI YA 13,000

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Kila wilaya kusambaziwa mitungi ya gesi 3,255 Elimu ya nishati safi kuendelea kutolewa 📍Njombe Mkoa wa Njombe umeahidi kushirikiana na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika kusambaza mitungi ya gesi ya kupikia13,020 ili wananchi watumie nishati safi na salama. Hayo yamezungumzwa leo Novemba 19, 2024 na Kaimu Katibu Tawala,  Mha. Joseph […]