KITAIFA
February 08, 2025
8 views 31 secs 0

RAIS MWINYI:TUSIPANDISHE BEI ZA BIDHAA KATIKA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi  amewahimiza Wafanyabiashara  kujiandaa na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani  na kufanya Biashara kwa Uadilifu na kuwa na Huruma  kwa Wananchi. Alhaj Dkt.Mwinyi ameyasema hayo alipozungumza na  Waumini wa Dini ya  Kiislamu  wa Masjid Jibril Mkunazini alipojumuika katika Sala ya Ijumaa. Aidha Alhaj Dkt.Mwinyi amesema […]