KITAIFA
March 22, 2025
40 views 6 secs 0

DKT.MWINYI AFUTARISHA VIONGOZI WA CCM

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi amejumuika  na  Wajumbe wa Kamati Kuu na Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi katika futari aliyoiandaa. Hafla hiyo ya  imefanyika katika Viwanja vya Ikulu  Zanzibar, tarehe 22 Machi 2025. Ameeleza kuridhika kukamilisha Sadaka ya Futari kwa Mikoa yote […]

KITAIFA
February 08, 2025
82 views 31 secs 0

RAIS MWINYI:TUSIPANDISHE BEI ZA BIDHAA KATIKA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi  amewahimiza Wafanyabiashara  kujiandaa na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani  na kufanya Biashara kwa Uadilifu na kuwa na Huruma  kwa Wananchi. Alhaj Dkt.Mwinyi ameyasema hayo alipozungumza na  Waumini wa Dini ya  Kiislamu  wa Masjid Jibril Mkunazini alipojumuika katika Sala ya Ijumaa. Aidha Alhaj Dkt.Mwinyi amesema […]