RAIS MWINYI:TUSIPANDISHE BEI ZA BIDHAA KATIKA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi amewahimiza Wafanyabiashara kujiandaa na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani na kufanya Biashara kwa Uadilifu na kuwa na Huruma kwa Wananchi. Alhaj Dkt.Mwinyi ameyasema hayo alipozungumza na Waumini wa Dini ya Kiislamu wa Masjid Jibril Mkunazini alipojumuika katika Sala ya Ijumaa. Aidha Alhaj Dkt.Mwinyi amesema […]