KITAIFA
March 19, 2025
68 views 4 mins 0

BODI YA WAKURUGENZI PURA YATUA SONGO SONGO, YATOA NENO UTEKELEZAJI MIRADI YA CSR

Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imefanya ziara maalum Songo Songo Mkoani Lindi kujionea hali ya miundombonu ya uzalishaji na uchakataji wa gesi asilia, na utekelezaji wa miradi ya Uwajibikaji wa Kampuni kwa Jamii (CSR) unaofanywa na kampuni za utafutaji na uzalishaji wa gesi asilia kisiwani humo. Kupitia […]

BIASHARA
March 07, 2025
82 views 49 secs 0

PURA KUNADI VITALU 26 VYA UTAFUTAJI MAFUTA NA GESI ASILIA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imesema inatarajia kunadi vitalu 26 vya gesi asilia na mafuta kwa lengo la kuvutia wawekezaji ili kuchangia maendeleo na kukuza uchumi wa nchi kwa ujumla. Hayo yamebainishwa jijini Dar es Salaam Machi 5, 2025 na Mkurugenzi Mkuu wa PURA, Mhandisi Charles Sangweni […]