BIASHARA
March 07, 2025
27 views 49 secs 0

PURA KUNADI VITALU 26 VYA UTAFUTAJI MAFUTA NA GESI ASILIA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imesema inatarajia kunadi vitalu 26 vya gesi asilia na mafuta kwa lengo la kuvutia wawekezaji ili kuchangia maendeleo na kukuza uchumi wa nchi kwa ujumla. Hayo yamebainishwa jijini Dar es Salaam Machi 5, 2025 na Mkurugenzi Mkuu wa PURA, Mhandisi Charles Sangweni […]