PUMA ENERGY YAMUUNGA MKONO RAIS SAMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DAR ES SALAAM KATIKA kuunga mkono jitihada za Serikali ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwenye kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Kampuni ya Puma Energy Tanzania kupitia PumaGas imezindua kampeni ya Bei kama Mkaa tu faida kibao yenye lengo la kuwahimiza wananchi kupika kwa nshati ya gesi. Uzinduzi wa […]