ASKOFU MUSOMBA: JITOKEZENI KWA WINGI KUSHIRIKI PUGU MARATHON
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ASKOFU Msaidizi wa Jimbo kuu la Dar es Salaam Mhashamu Stephano Musomba ametoa wito kwa jamii kujitokeza kwa wingi na kuhakikisha wanajiandikisha kushiriki Pugu Marathon 2025 itakayofanyika Mei 31, mwaka huu katika viwanja vya Hija Pugu Jimbo kuu la Dar es Salaam. Mhashamu Musomba ametoa wito huo wakati akizungumzia na waandishi […]