PRIMA AFRO WAWAKUMBUKA WATOTO WENYE MAHITAJI
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Watoto wenye ulemavu na wanaoishi katika mazingira magumu ambao wanaolelewa katika Kituo cha Nazzar Foundation kilichopo Madale jijini Dar es Salaam wamepatiwa misaada mbalimbali kuwezesha Misaada hiyo ambayo iajumuisha pampasi, sabuni, vyombo vya kufulia nguo na vifaa vya usafi umetolewa na Kampuni ya Nywele ya Prima Afro. Akikabidhi msaada huo Aprili […]