FAUDHIA ACHOMWA KISU KISA KUGOMA KUOLEWA.
Jeshi la polisi Mkoani Mwanza linamshikilia Said Mfaume (32) ambaye ni Mtaalamu wa IT na Mkazi wa Arusha kwa kumchoma na kumjeruhi Mpenzi wake aitwaye Faudhia Juma (34) Mkazi wa Singida kwa kumchoma kisu katika maeneo mbalimbali ya mwili wake kisha na yeye kujaribu kujiua kwa kujichoma kisu tumboni hadi utumbo ukaningโinia akiamini kuwa Mpenzi […]