NISHATI SAFI YA KUPIKIA ITAONDOA KADHIA ZA KUNI NA MKAA KWA WATU WENYE MAHITAJI MAALUM -NDERIANANGA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Aiasa jamii kuwa na mtazamo chanya juu ya Nishati Safi ya Kupikia* Asema viongozi wataendelea kuhamasisha Nishati Safi ya Kupikia* Naibu Waziri Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga amesema kuwa matumizi ya nishati safi ya kupikia yanaenda kuwaokoa watu wenye mahitaji maalum na kadhia zinazotokana […]