MHE KAPINGA SERIKALI IMEDHAMIRIA KILA MTANZANIA KUPATA UMEME
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Lengo ni kuimarisha unganishwaji wa huduma ya umeme katika maeneo yote nchini Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan amedhamiria kila mtanzania kupata umeme kwenye nyumba yake kuanziaย ngazi za mikoa mpaka vitongoji. Mhe. Kapinga amesema hayo Agosti 21, 2024 […]