MICHEZO
September 02, 2024
235 views 17 secs 0

USG YATOA HUDUMA YA VVU NA CHANJO TAKRIBANI VIJANA 10,000 KUPITIA NDONDO CUP

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Serikali ya Marekani (USG) yatoa huduma za VVU na chanjo kwa takribani vijana 10,000 wenye umri wa miaka 15-24 kupitia mpango wa Ndondo Cup  Dar es Salaam. Ndondo Cup ya mwaka huu imekuwa zaidi ya mashindano ya soka ya kienyeji; imegeuka kuwa mpango muhimu wa uhamasishaji wa afya ya umma, ikitoa […]