BURUDANI
October 27, 2024
209 views 2 mins 0

WAZIRI SIMBACHAWENE:HAKUNA KITU KIZURI KAMA MAISHA YA NDOA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MPWAPWA Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene (Mb) amesema maisha ya  ndoa ni mazuri huku akimtaka  Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Mpwapwa Ndg.Mgutho Thabit Mathew aliyefunga pingu ya maisha na Mke wake Bi. Herieth Kileo  kuishi maisha yenye  upendo […]