KITAIFA
May 23, 2024
82 views 2 mins 0

RC MAKONDA AMBANANISHA MENEJA WA RUWASA LONGIDO,ATHIBITISHA KUMTOMUHITAJI WILAYANI HAPO KUTOKANA NA UONGO PAMOJA NA UZEMBE WA USIMAMIZI WA MIRADI YA MAJI

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA ARUSHA Ikiwa ni mwanzo wa ziara yake Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda aliyoipa jina la *SIKU 6 ZA MOTO ARUSHA* , Ametembelea katika Zahanati ya kijiji cha Leremeta Wilayani Longido ambapo akiwa hapo amepokea malalamiko kutoka kwa Mwenyekiti wa serikali ya kijiji cha Leremeta Bw. Supuk Melita na […]

KITAIFA
April 08, 2024
215 views 3 mins 0

DKT BITEKO ATAKA WATANZANIA KUMUENZI SOKOINE KWA KUFANYA KAZI

MOROGORO *๐Ÿ“ŒHayati Sokoine alikuwa mstari wa mbele kukemea rushwa na ufisadi* *๐Ÿ“ŒAnakumbukwa kama kiongozi aliyepigania maendeleo ya taifa.* *๐Ÿ“ŒDkt. Biteko asisitiza Sekta ya Kilimo iwe kimbilio* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, Watanzania wanapaswa kumuenzi Hayati Edward Moringe Sokoine kwa kufanya kazi kwa bidii ili kuinua uchumi wa […]

KITAIFA
October 12, 2023
398 views 55 secs 0

MENEJA WA MKOA TARURA MOROGORO ASISITIZA KUENDELEA USIMAMIZI WA MIKATABA YA KAZI ZA BARABARA

TARURA haitosita kuwachukulia hatua wakandarasi na watumishi watakaozorotesha kasi ya utekelezaji wa kazi za ujenzi na matengenezo ya barabara za Wilaya Morogoro Meneja wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) mkoa wa Morogoro Mhandisi Emmauel Ndyamkama amesema kuwa ataendelea kusimamia ubora wa kazi zinazofanyika katika Mkoa huo kwa kuzingatia matakwa ya mikataba inayosainiwa […]

KITAIFA
August 07, 2023
198 views 3 mins 0

WAZIRI SHAMATA:TUONGEZE NGUVU KWA PAMOJA KATIKA KUPAMBANA NA JANGA LA UKIMWI

Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Zanzibar Mhe. Shamata Shaame Khamis amehimiza wananchi kuendelea kuunga mkono jitihada za Serikali katika Mapambano Dhidi ya Virusi vya UKIMWI nchini kwa kuendelea kuzingatia elimu inayotolewa kuhusu masuala hayo. Ametoa rai hiyo Agosti 6, 2023 alipotembelea Banda la Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu katika maonesho […]

KITAIFA
August 02, 2023
277 views 3 mins 0

JKT LAHIMIZA WANANCHI WA MKOA WA MBEYA KUFIKA KWENYE BANDA LAO KUJIFUNZA SHUGHULI ZA KILIMO

JESHI la kujenga Taifa Nchini(JKT) limewataka wananchi wa Mkoa wa Mbeya na Mikoa jirani kuendelea kujitokeza kwa wingi kwenye banda lake lililopo katika viwanja vya John Mwakangale ambako maonesho ya nane nane yanaendelea na kwamba wafike ili kujifunza mambo mbalimbali yanayohusu shughuli za kilimo na kuongeza kuwa kwa upande wa shuguli zinazofanywa na jeshi hilo, […]