KITAIFA
June 09, 2024
110 views 2 mins 0

KURA 7,092 ZAMPA UBUNGE ‘PELE’ JIMBO LA KWAHANI

Na Mwandishi wetu, Zanzibar Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kupitia Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kwahani-Zanzibar Bi.Safia Iddi Muhammad imemtangaza Bw.Khamis Yussuf Mussa kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mshindi wa Kiti cha Ubunge katika Jimbo la Kwahani. Mussa almaarufu Pele ameibuka mshindi wa kiti hicho baada ya kupata Kura 7,092 Kati ya […]