KITAIFA
November 21, 2023
160 views 4 mins 0

MTAMBI WA UMEME KUPELEKWA MKOANI MTWARA KUIMARISHA UPATIKANAJI WA UMEME

Hali ya upatikanaji umeme mkoani Dar es Salaam kuboreshwa Imeelezwa kuwa, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) litapeleka mtambo wa umeme wa MW 20 mkoani Mtwara kutoka kituo cha umeme Ubungo III ili kuimarisha hali ya umeme katika mikoa ya Lindi na Mtwara ikiwa ni utekelezaji wa agizo alilolitoa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, […]