KITAIFA
September 17, 2023
186 views 41 secs 0

RAIS SAMIA AHITIMISHA ZIARA YA KIKAZI MTWARA

– Ziara imekuwa na Mafanikio Makubwa. – Azindua Miradi iliyogharimu mabilioni ya Pesa. – Asema Serikali imedhamiria kufungua Mkoa wa Mtwara kiuchumi. – Wananchi wamshukuru na Kusema Ziara imekuwa neema kubwa kwenye Mkoa wao. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt, Samia Suluhu Hassan leo September 17,2023 amehitimisha Ziara ya Siku tatu Mkoani […]

BURUDANI
August 07, 2023
215 views 50 secs 0

DAIMOND: ALIKIBA NA HARMONIZE KUPAFORM WASAFI FESTIVAL MTWARA

Msanii Diamond platinum amesema wapenzi wa burudani huenda wakamuona alikiba na Harmonize kwenye tamasha la wasafi festival linalotarajia kuanza September 02 2023 mkoani Mtwara mahali ambapo yeye daimond na alikiba walifanya show pamoja kipindi anaanza kufanya show za kulipwa Daimond amesema hayo wakati akizindua msimu mwingine wa Tamasha hilo linalotarajia kuzunguka miji kumi na kukutanisha […]

KITAIFA
July 08, 2023
118 views 4 mins 0

MAJALIWA:AWATOA HOFU WANAMTWARA UWEKEZAJI UNA FAIDA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema uwekezaji una faida na kwamba suala hilo siyo kitu kipya. Ametoa kauli hiyo jana jioni (ijumaa,julai 07,2023)wakati akizungumza na mamia ya wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara kwenye viwanja vya bandari mjini Mtwara. Amesema mwekezaji WA kwanza kwenye bandari ya Dar es salaam ambako uwekezaji unapigiwa kelele, mkataba wake ulikuwa na […]