KITAIFA
October 05, 2023
222 views 2 mins 0

MAVUNDE:KUSAIDIA WA TANZANIA KUPATA MKOPO NA KUINGIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Mkutano mahususi kati ya Taasisi za fedha ambao unahusisha wachimbaji wadogo na wachimbaji wakubwa na watoa huduma Kwa kujadiliana kwa changamoto kubwa ya Taasisi za fedha kuto wakopesha sekta ya madini Changamoto hiyo inawafanya watanzania wengi kuwa waangaliaji wa Fursa kubwa ya madini iliyopo Nchini Tanzania na sio washiriki wa sekta ya madini Akizungumza na […]

KITAIFA
September 29, 2023
138 views 2 mins 0

SERIKALI YA AWAMU YA SITA YALETA KICHEKO KWA WACHIMBAJI MABENKI YAITIKIA KUTOA MIKOPO

WAZIRI WA Madini Antony Mavunde amesema Serikali ya awamu ya sita chini ya Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan iko katika mazungumzo baina ya wizara ya Madini na Tanzania Banker’s Association, taasisi zote za fedha (MABENKI), STAMICO na wadau wa sekta Madini kujadiliana ili kuona ni changamoto gani zinazosababisha mchimbaji wadogo wa Madini wasiwe na vigezo […]

Uncategorized
September 28, 2023
196 views 42 secs 0

MSALABAS YAWEKEZA ZAIDI YA BILIONI TANO ZA KITANZANIA GEITA

ZAIDI ya Shilingi za kitanzani Bilioni 5 zimewekezwa katika Maabara ya MSALABS inayopima sampuli za Madini kwa kiwango cha kimataifa mkoani Geita. Hayo yamebainishwa Septemba 27, 2023 na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Maabara ya MSALABS Mugisha Lwekoramu wakati wa ufunguzi wa Maabara hiyo iliyoanzishwa mwaka 2020 ikiwa ni kampuni tanzu ya MSALABS yenye makao […]