KITAIFA
July 06, 2024
261 views 57 secs 0

CPA MAKALLA”CCM HAIWEZI KUJITENGA NA MATATIZO YA WANANCHI”

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha mapinduzi (CCM) komredi Amos Makalla, amesisitiza kwamba Chama hicho hakiwezi kujitenga na Matatizo ya Wananchi, hivyo amewataka watendaji wa Serikali wakiwemo Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Wakurugenzi kuendelea na Utaratibu wa kutenga muda ili Kusikiliza na Kutatua kero mbalimbali za Wananchi. […]

KITAIFA
January 04, 2024
359 views 5 mins 0

DKT BITEKO APONGEZA JUHUDI ZA RAIS DKT SAMIA KUSTAWISHA DEMOKRASIA NCHINI

Asema amekuwa mfano Kitaifa na Kimataifa* Apongeza Baraza la Vyama vya Siasa kukusanya maoni Miswada ya Sheria za Uchaguzi* Awasisitiza kwenda bungeni kutoa maoni ya miswada* Dar es Salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amempongeza na kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan […]

KITAIFA
December 21, 2023
243 views 48 secs 0

CCM YAIPONGEZA WIZARA YA KILIMO KWA UZALISHAJI WA TUMBAKU KUPANDA KUTOKA TANI 60,000

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda amesema Chama Cha Mapinduzi kinaipongeza Wizara ya Kilimo chini ya Waziri Bashe kwa kuendelea kusimamia vema na kuonesha Tija kwa wakulima Nchini. Mwenezi Makonda amesema kulingana na Takwimu, inaonesha kuwa kwa mara ya kwanza uzalishaji wa zao la […]

KITAIFA
July 17, 2023
256 views 15 secs 0

VYAMA VYA SIASA 18 VYAOMBA USAJILI

MSAJILI wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi amesema vyama vipya vya siasa 18 vimeomba usajili ambapo utaanza kutekelezwa baada ya kuhitimishwa zoezi la uhakiki wa vyama vilivyopo. Akizungumza Jijini Dar es Salaam katika mkutano wa kikao kazi na viongozi wa vyama vya siasa nchini ikiwa ni maandalizi ya kuelekea kwenye uhakiki huo Mutungi amesema […]