MAJALIWA:AWATAKA WAKUU WA WILAYA NA WAKUU WA IDARA WAKASIKILIZE KERO ZA WANANCHI
Waziri mkuu kassim Majaliwa Leo Alhamis 23,2023 ametembelea Hospital ya rufaa iliyopo mkoa wa songwe ambayo imeendelea kujengwa na imeshaanza kutumika na viwango vyake vinarizisha Waziri mkuu kassim Amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anaendelea kuleta fedha kwa utaratibu ili majengo yakamilike. Hospital hiyo Bado inaendelea na ujenzi na Jengo la magonjwa ya dharura , […]