RC CHALAMILA ATANGAZA ENEO LA MUHIMBILI-PEMBA MNAZI KUWA CHINI YA SERIKALI
Na Mwandishi wetu Wamachinga -Amtaka Naibu kamishna wa Ardhi Mkoa kuanza utaratibu wa kupima mara moja. -Aagiza waliofoji nyaraka wachukuliwe hatua Kali za kisheria -Awataka wenyeviti na Watendaji wa kata na mitaa kutokuwa sehemu ya migogoro. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ametangaza rasmi eneo la Muhimbili-Pemba Mnazi Wilaya ya Kigamboni […]