KITAIFA
March 02, 2025
58 views 2 mins 0

BARAZA LA USHAURI DSM LAPITISHA RASIMU YA BAJETI, 2025/2026 ZAIDI YA BILIONI 848

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Baraza la Ushauri la Mkoa wa Dar es Salaam (RCC) limepitisha rasimu ya bajeti yake ya mapato na matumizi ya kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni 848 kwa mwaka wa fedha 2025/2026 itakayotoa dira ya utoaji huduma muhimu za kijamii pamoja na matumizi ya mishahara kwa watumishi Akizungumza wakati wa  kuwasilisha […]

KITAIFA
December 23, 2024
158 views 2 mins 0

RC CHALAMILA ATOA SALAAM ZA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA 2025

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Kuelekea sikukuu za Chrismas na Mwaka mpya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila amesema ulinzi na usalama umeimarishwa ili kuhakikisha wananchi hususani wakazi wa Mkoa huo wanakuwa salama katika kipindi chote cha sikukuu na baada ya sikukuu, pia amewataka wazazi na walezi kusimamia vema usalama wa watoto […]

KITAIFA
December 13, 2024
141 views 2 mins 0

RC CHALAMILA TUSIWE WEPESI KUHUKUMU MAKOSA YA MTU BILA KUJUA HISTORIA YAKE

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -Asema Manabii na Viongozi wengine wa Dini wana nafasi kubwa katika Jamii. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Disemba 12 amehudhuria mkutano wa kila mwaka wa Kitaifa wa viongozi wa kiroho ( The Annual National Leaders Prophetic Meeting) uliofanyika katika ukumbi wa The Supper Dom Masaki […]

KITAIFA
December 09, 2024
103 views 2 mins 0

RC CHALAMILA ALAANI VIKALI SHAMBULIO LA WATUMISHI WA TRA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -Asema waliohusika na tukio hilo lazima wakamatwe na sheria ichukue mkondo wake. -Asisitiza ifike wakati Dola lazima iheshimike. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amelaani vikali kitendo cha kushambuliwa kwa watumishi wa TRA wakati wakitekeleza majukumu yao kwa mujibu wa sheria eneo la Tegeta Wilaya ya Kinondoni […]

KITAIFA
November 12, 2024
100 views 18 secs 0

RC CHALAMILA AFANYA ZIARA KIWANDA CHA NAMELA TEXTILE LIMITED

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Novemba 12, 2024 amefanya ziara ya kushitukiza kiwanda cha nguo na mavazi cha Namela Textile Limited kilichopo Gongolamboto Jijini Dar es Salaam. RC Chalamila amefanya ziara hiyo kwa lengo la kujionea kiwango cha uzalishaji, Ubora wa bidhaa pamoja na malalamiko […]

KITAIFA
October 23, 2024
126 views 2 mins 0

RC CHALAMILA MTAA KWA MTAA-ILALA HAKUNA KULALA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila usiku wa kuamkia leo Oktoba 23,2024 amefanya ziara Wilaya ya Ilala na Kukagua maendeleo ya miradi mbalimbali inayotekelezwa saa 24 pia ametembelea na kufanya mazungumzo na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Azania na Jangwani Jijini Dar es Salaam. Ziara ya RC […]

KITAIFA
July 24, 2024
300 views 3 mins 0

RC CHALAMILA AONGOZA KIKAO CHA BODI YA BARABARA NA KAMATI YA USHAURI YA MKOA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -Atoa maelekezo mahususi juu ya ufanisi na utekekelezaja wa miradi ya barabara katika Mkoa. -Ataka kuwa na ubunifu wa matumizi ya ‘Road Reserve’ na maeneo ya wazi -Asema Dar es Salaam ni salama sana vitendo vichache vya kiharifu vimeendelea kudhibitiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo […]

KITAIFA
July 17, 2024
281 views 5 secs 0

RC CHALAMILA ATEMBELEWA NA UGENI KUTOKA JESHI LA UKOMBOZI  LA WATU WA CHINA

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila leo Julai 17, 2024 ametembelewa na ugeni ofisini kwake kutoka Jeshi la Ukombozi la watu wa China ukiongozwa na BRIG GEN CE MWANZIVA Mkurugenzi wa Huduma za Afya TPDF Makao Makuu Dodoma. RC Chalamila baada ya kupokea ugeni huo amefanya mazungumzo […]

KITAIFA
June 26, 2024
214 views 2 mins 0

RC CHALAMILA AZITAKA HALMASHAURI ZA MKOA KUFANYA KAZI KWA KARIBU NA OFISI YA CAG

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA DAR ES SALAAM -Asema Ofisi ya CAG na Wakurugenzi wasikimbiane -Asisitiza umuhimu wa kuwa mahiri katika kuzuia hoja na sio kujibu hoja -Apongeza Manispaa ya Ubungo na Kinondoni kwa kupata Hati safi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Juni 26,2024 akiwa katika muendelezo wa kushiriki mabaraza […]