RC CHALAMILA AONGOZA KIKAO CHA BODI YA BARABARA NA KAMATI YA USHAURI YA MKOA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -Atoa maelekezo mahususi juu ya ufanisi na utekekelezaja wa miradi ya barabara katika Mkoa. -Ataka kuwa na ubunifu wa matumizi ya ‘Road Reserve’ na maeneo ya wazi -Asema Dar es Salaam ni salama sana vitendo vichache vya kiharifu vimeendelea kudhibitiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo […]