KITAIFA
July 24, 2024
58 views 3 mins 0

RC CHALAMILA AONGOZA KIKAO CHA BODI YA BARABARA NA KAMATI YA USHAURI YA MKOA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -Atoa maelekezo mahususi juu ya ufanisi na utekekelezaja wa miradi ya barabara katika Mkoa. -Ataka kuwa na ubunifu wa matumizi ya ‘Road Reserve’ na maeneo ya wazi -Asema Dar es Salaam ni salama sana vitendo vichache vya kiharifu vimeendelea kudhibitiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo […]

KITAIFA
July 17, 2024
49 views 5 secs 0

RC CHALAMILA ATEMBELEWA NA UGENI KUTOKA JESHI LA UKOMBOZI  LA WATU WA CHINA

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila leo Julai 17, 2024 ametembelewa na ugeni ofisini kwake kutoka Jeshi la Ukombozi la watu wa China ukiongozwa na BRIG GEN CE MWANZIVA Mkurugenzi wa Huduma za Afya TPDF Makao Makuu Dodoma. RC Chalamila baada ya kupokea ugeni huo amefanya mazungumzo […]

KITAIFA
June 26, 2024
58 views 2 mins 0

RC CHALAMILA AZITAKA HALMASHAURI ZA MKOA KUFANYA KAZI KWA KARIBU NA OFISI YA CAG

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA DAR ES SALAAM -Asema Ofisi ya CAG na Wakurugenzi wasikimbiane -Asisitiza umuhimu wa kuwa mahiri katika kuzuia hoja na sio kujibu hoja -Apongeza Manispaa ya Ubungo na Kinondoni kwa kupata Hati safi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Juni 26,2024 akiwa katika muendelezo wa kushiriki mabaraza […]

KITAIFA
June 15, 2024
74 views 2 mins 0

RC CHALAMILA ATANGAZA KAMPENI YA UPIMAJI AFYA BILA MALIPO

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA -Asema kampeni hiyo ni ya siku 10 itaanza Juni 20-30,2024 -Abainisha kampeni hiyo inatarajia kuwafikia wananchi zaidi ya elfu kumi -Atoa rai kwa wakazi wa DSM kujitokeza kwa wingi kupima afya zao Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Juni 14, 2024 ametangaza kampeni kabambe ya kupima […]

KITAIFA
May 30, 2024
222 views 3 mins 0

HOSPITAL YA MUHIMBILI KUBOMOLEWA

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA MKUU wa mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila Amesema Jiji la Ilala pamoja na Halmashauri za Manispaa ya mkoa wa Dar es salaam Ni marufuku Kuendelea Kujenga ujenzi wa kutawanyika Kwa sababu ya Ardhi yake haipo kama ya mikoa mingine  Hayo ameyasema Leo Tarehe 30 Mei 2024 […]

KITAIFA
May 30, 2024
77 views 2 mins 0

BARABARA ZA VIWANDANI KIWARANI KUKARABATIWA

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila Akiendelea na ziara yake ya siku tatu na Leo ikiwa ni siku ya kuhitimisha ziara yake Katika Wilaya ya Ilala na kuendelea kusikiliza kero za wananchi. MKUU wa mkoa Amekitembelea kiwanda cha nondo kiitwacho Metro Steel kilichopo katika Halmashauri […]

KITAIFA
May 29, 2024
98 views 5 secs 0

RC CHALAMILA AJARIDHISHWA UJENZI WA MRADI WA SHULE YA SEKONDARI BENJAMIN

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mkuu wa mkoa  wa  mkuu wa Dar es salaam ALBERT CHALAMILA  amemtaka  kufanyika kwa tathmini ya zaidi ya shilingi billion 5 Ambazo zimetolewa katika  ujenzi wa kutoa cha afya. Cha  mchikichini kilichopo ILALA kutokana  na kutoridhishwa ujenzi wa miradi huo Agizo hilo Amelitoa  katika  ziara maalumu ya kukagua […]