KITAIFA
August 22, 2024
258 views 49 secs 0

KAMATI YA BUNGE NA WIZARA YAANDAA MAANDALIZI YA MKUTANO MKUU WA 50 WA SHIRIKISHO LA WAFUGAJI NYUKI DUNIANI 2027

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii ikiongozwa na Mwenyekiti Mhe. Timotheo Mnzava (Mb) leo Agosti 22,2024 Bungeni jijini Dodoma, imepokea taarifa mbalimbali za utekelezaji wa majukumu ya Wizara ya Maliasili na Utalii ikiwemo taarifa ya Maandalizi ya Mkutano Mkuu wa 50 wa Shirikisho la Wafugaji Nyuki Duniani […]