KITAIFA
July 22, 2024
303 views 2 secs 0

DKT BITEKO CHAGUENI VIONGOZI WA MAENDELEO UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Awataka kujindikisha na kujiandaa kwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kuchagua Viongozi Bora wa Serikali za Mitaa kwenye uchaguzi mwaka huu ambao watakuwa mstari wa mbele kuleta maendeleo na kutatua changamoto zao kwa haraka. Dkt. Biteko ameyasema hayo […]

KITAIFA
March 31, 2024
438 views 38 secs 0

DKT BITEKO AHANI MSIBA WA MKE WA MZEE GACHUMA

Na mwandishi wetu Tarime Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo tarehe 31 Machi 2024 amefika kijijini Komaswa, wilayani Tarime mkoani Mara ili kuhani msiba wa aliyekuwa Askofu wa New Life Gospel Community Church (NLGCC), Marehemu Fransisca Mwita Gachuma ambaye alikuwa mwenza wa Ndugu Christopher Gachuma, Mjumbe wa Halmashauri Kuu […]