KITAIFA
June 26, 2024
346 views 2 mins 0

MKOA WA DAR ES SALAAM KINARA UTOAJI WA HABARI KWA UMMA 2024

-RC chalamila apongeza kitengo cha mawasiliano Serikalini kwa kupatiwa tuzo ya ushindi -Atoa maelekezo mahususi kuboresha utendaji kazi wa kitengo hicho Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Juni 25,2024 amekabidhi tuzo na cheti cha ushindi kwa kitengo cha mawasiliano serikalini kupitia katibu Tawala wa Mkoa huo Dkt Toba Nguvila tuzo […]