KITAIFA
November 09, 2023
205 views 4 mins 0

TANZANIA NA UGANDA ZATIA SAINI MKATABA MAHUSUSI KWA AJILI YA UPEMBUZI YAKINIFU UJENZI WA BOMBA LA GESI

DKT BITEKO ASEMA NI KIELELEZO CHA USHIRIKIANO WA NCHI HIZO MBILI Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Uganda zimetia saini mkataba mahsusi utakaowezesha kuanza kwa kazi ya upembuzi yakinifu wa Mradi wa Ujenzi wa Bomba la Kusafirisha Gesi kutoka Tanzania kwenda Uganda. Mkataba huo umesainiwa leo jijini Dodoma na […]