KITAIFA
March 25, 2024
143 views 2 mins 0

KADOGOSA:UJENZI WA SGR YAFIKIA TRILION 23.3 MIAKA MITATU YA RAIS SAMIA

Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM MKURUGENZI wa shirika la Reli nchini (TRC) Masanja Kadogosa amesema Ujenzi wa Miundo mbinu ya Reli unatarajia kufikia takribani trion 23.3 ambapo tayari shilingi trioni 10 zimeshalipwa kutekeleza Mradi huo wa kimkakati. Akizungumza Katika Mkutano wa waandishi wa Habari na wahariri wa vyombo vya habari nchini jijini Dar es […]