KITAIFA
February 15, 2024
125 views 28 secs 0

SERIKALI KUIMARISHA MIRADI YA GRIDI IMARA YA UMEME NCHINI

Serikali inaendelea kutekeleza miradi ya kuimarisha na kuboresha upatikanaji wa umeme kwenye gridi ya Taifa (Gridi imara) ili kuwezesha wananchi kupata huduma hiyo muhimu ya umeme kila sehemu ya Nchi. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dunstan Kitandula aliyejibu swali bungeni kwa niaba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa […]

KITAIFA
November 15, 2023
173 views 6 mins 0

SANGU AIPA KONGOLE SUMAJKT KUANZISHA MIRADI

MBUNGE wa Jimbo la Kwela na Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge na uwekezaji wa mitaji ya umma ,Deus Sangu Ameongoza kamati hiyo kwa kufanya ziara ya kutembelea miradi mbalimbali inayoendeshwa na Kampuni ya SUMAJKT ya uzalishaji Mali. Amesema kipekee wamepata fursa ya kutembelea sehemu kuu mbili kwanza wametembelea Kampuni tanzu ya uzalishaji Kwa […]

KITAIFA
November 07, 2023
163 views 24 secs 0

UJENZI WA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA LA HOIMA UNASHIRIKISHA WAZAWA MKOANI WA KAGERA

Wakandarasi na wa watoa huduma 42 wapatiwa kazi Dodoma Imeelezwa kuwa ujenzi wa Mradi wa bomba la mafuta kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga unashirikisha wakandarasi wazawa kutoka mkoani Kagera. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga, kwa niaba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto […]

KITAIFA
August 29, 2023
208 views 37 secs 0

MHE. KATAMBI: TUNAENDELEA KUTOA ELIMU YA KANUNI ZA MAFAO

SERIKALI imeendelea kutoa elimu ya kanuni mpya ya mafao ya pensheni (kikokotoo) na hadi Juni 30, mwaka huu wanachama wa mifuko ya pensheni 131,497 na waajiri 5,580 wamefikiwa na elimu hiyo. Aidha, Elimu hiyo imetolewa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) kwa […]

KITAIFA
August 24, 2023
158 views 5 mins 0

SERIKALI YAANZA MAPITIO YA SERA YA WATU WENYE ULEMAVU

OFISI ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu imeanza kufanya tathmini na mchakato wa mapitio ya Sera ya Maendeleo na Huduma kwa Watu Wenye Ulemavu ya mwaka 2004 ili kukidhi mahitaji ya sasa. Akifungua kikao cha wadau Agosti 24, 2023 jijini Dodoma cha kupitia taarifa ya awali ya mapitio hayo, Katibu Mkuu wa […]

KITAIFA
June 16, 2023
209 views 55 secs 0

Tanzania yapaa kimataifa,waziri mbarawa kuboresha barabara Kwa njia ya EPC-F

Serikali imesema kuwa Utekelezaji wa miradi Saba ya ujenzi wa barabara Kwa njia ya EPC-F haitalipiwa na wananchi watakaotumia baadhi ya wananchi wanavyodhani. Akizungumza jijini Dodoma Waziri wa ujenzi na uchukuzi Professor Makame mbarawa wakati wa utiaji Saini wa miradi hiyo ambayo inatarajiwa kutekelezwa katika Kanda za kaskazini na kusini na kujengwa na makandarasi wanne(4) […]