KITAIFA
July 20, 2023
150 views 41 secs 0

JKCI KUFANYA UPASUAJI WA MKUBWA WA MOYO BILA KUPASUA KIFUA.

Mwaka wa fedha uliopita wa 2022/2023 Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) ilitengewa kiasi cha shilingi Bilioni 44.5 fedha ambazo zimetumika kufanya shughuli mbalimbali za utoaji wa huduma ya matibabu ya moyo Pamoja na shughuli za maendeleo.  Katika mwaka huo wa fedha  Taasisi imefanikiwa kuwafanyia wagonjwa upasuaji mkubwa wa moyo wakufungua kifua na kuwabadilishia […]