KITAIFA
February 25, 2025
5 views 2 mins 0

KIKWETE KUWA MGENI RASMI KATIKA MASHINDANO YA QURAN YA MADRASA YA AN – NUJUM

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Taasisi ya Al- Madrasatul An-nujum imeandaa mashindano ya kuhifadhisha Quran Tukufu siku ya Tarehe 2 ya mwezi wa 3 2025 Katika ukumbi wa Dyccc chang’ombe jijini dar es salaam Taasisi hiyo Mpaka Sasa imefikisha miaka 22 tokea kuazishwa kwake Kwa mashindano hayo ya kuhifadhisha Quran Tukufu Kwa vijana […]

KITAIFA
January 31, 2025
53 views 4 mins 0

RAIS SAMIA MGENI RASMI TUZO ZA KIMATAIFA ZA KUHIFADHI QURAAN

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Tuzo za  za Kimataifa ya Kuhifadhi Quraan yatakayofanyika Aprili 23 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Aidha Taifa la Saudi Arabia, limetangaza neema katika mashindano hayo ikiwa ni pamoja na  kumleta mmoja wa maimamu wakubwa wa msikiti mtakatifu […]