MICHEZO
August 12, 2023
179 views 16 secs 0

MCHUNGAJI MASHIMO AWAOMBA TFF KUMFUNGULIA ADHABU HAJI MANARA HARAKA IWEZEKANAVYO

Mchungaji wa Taifa Daudi mashimo atabirikushinda Kwa Timu ya Simba SC dhidi ya yanga SC Katika mchezo utakao pigwa Katika dimba la ccm mkwakwani mkoani Tanga Mashimo amesema kesho yanga hawatoweza kushinda Kwani simba Ipo Katika usajili mzuri na yanga kesho wakubali tu matokeo ya kufungwa na Katika ligi watakuwa watu watatu Amewaomba mashabiki wa […]

MICHEZO
August 11, 2023
217 views 22 secs 0

MANARA ATOA POVU KWA TIMU YA SIMBA SC

Kufuatia performance ya msanii kwenye tamasha la Simba Day iliyozua mjadala na kupelekea chama Cha watu Wenye Ulemavu ualbino kuitaka klabu ya Simba SC Tanzania kuomba radhi Kwa kitendo hicho Cha kumtumia mtu mwenye ualbino kutumika Katika tamasha hilo Haji manara amejibu kuhusu swala hilo akiwa ni mtu anayetajwa kuhusishwa kama mlengwa wa kilichofanyika siku […]