MAN U UNITED KUMSAINI MLINDA MLANGO ONANA
Manchester United wamekamilisha usajili wa mlinda mlango Andre Onana kutoka Inter Milan kwa kima cha pauni milioni 47.2m. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Cameroon mwenye umri wa miaka 27, ametia saini mkataba wa miaka mitano, na chaguo la kuongezwa kwa miezi 12. Mkataba huo una thamani ya pauni milioni 43.8 pamoja na nyongeza zinazoweza kufikia […]