KITAIFA
April 14, 2025
32 views 3 mins 0

NIDA KUSITISHA MATUMIZI YA NAMBA MEI 1 KWA WASIOCHUKUA VITAMBULISHO

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa NIDA Imesema kuanzia Tarehe 1 Mei 2025 inawafungia matumizi ya Namba Kwa wale ambao hawajajitokeza kuchukua vitambulisho vyao Angali wametumiwa meseji Katika simu zao. Ameyasema hayo Leo 14 April 2025 Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa NIDA James Wilbert Kaji Amesema dhamira […]